Wednesday, 21 April 2021

Safari Ya Yanga Kimataifa Yazidi Kung'aa

Safari ya Kimataifa inazidi kunoga kwa Yanga baada ya leo kuingia makubaliano ya ushirikiano na klabu ya Raja Athletic, mabingwa wa Morocco

Taarifa iliyotolewa na Yanga, imebainisha kuwa ushirikiano huo utahusisha masuala mbalimbali ya maendeleo

Raja Club ni miongoni mwa klabu kongwe na ina mafanikio makubwa kwenye soka la ushindani barani Afrika

Hatua nzuri kwa Yanga..!

0 Comments:

Post a Comment