Saturday 4 August 2018

Simba wins 3-1 F.C.E Ksaifa



Kikosi cha Simba kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika mchezo wa kirafiki uliopigwa huko Uturuki dhidi ya F.C.E Ksaifa. 

Mabao ya Simba yamewekwa kimiani na wachezaji Emmanuel Okwi aliyefunga mabao mawili pamoja na Meddie Kagere aliyingia kambani mara moja. 

Bao pekee la Ksaifa ambayo nayo ipo Uturuki kwa kambi maalum ya kujiandaa na msimu mpya, limewekwa kambani na Nader Alkrinaui. 

Simba wanatarajia kuanza safari ya kurejea Tanzania kuanzia kesho kwa ajili ya tamasha la Simba Day litakalofanyika Agosti 8 2018.

0 Comments:

Post a Comment