๐๐๐๐๐๐๐๐: Christian Mosquera amekataa mkataba mpya kutoka Valencia! ๐ช๐ธ
Beki huyo chipukizi ana ndoto moja tu — kujiunga na Arsenal! ๐ฎ
✅ Ameshakubaliana masharti binafsi na Arsenal siku chache zilizopita!
๐ Mkataba uko tayari!
๐ Mazungumzo kati ya vilabu yapo hatua nzuri!
๐๐๐๐๐๐๐๐: Wakala wa Rodrygo Goes ๐ง๐ท hawaridhishwi na hali ya Mchezaji huyo ndani ya Real Madrid, kwa mujibu wa `The Athletic`! ๐ณ๐
๐ Inadaiwa kuna wasiwasi kuhusu nafasi yake kwenye kikosi baada ya kukaa benchi kwenye mechi 3 mfululizo! ๐
๐๐๐๐๐: Klabu ya Bologna ๐ฎ๐น imefikia makubaliano ya kumtwaa mshambuliaji Ciro Immobile ๐ฎ๐น kutoka Beลiktaล ๐น๐ท kwa mkataba wa mwaka mmoja, ukiwa na chaguo la kuongezewa msimu mwingine! ❤️๐✍๐ป
✅ Makubaliano ya maneno tayari yamekamilika!!
๐ Aidha, Federico Bernardeschi ๐ฎ๐น naye atajiunga rasmi na Bologna kama mchezaji mpya, kama ilivyoripotiwa mapema wiki hii.
๐๐๐๐๐๐
๐๐: Yann Sommer ๐จ๐ญ ni mmoja wa makipa walioko kwenye orodha ya Galatasaray kama chaguo jipya la mlinda mlango, lakini si chaguo pekee. ๐งค๐
๐ Klabu hiyo ya Uturuki inatazama majina kadhaa, na hadi sasa hakujakuwa na mawasiliano rasmi kati ya Galatasaray, mchezaji huyo au klabu yake ya Inter Milan ๐ฎ๐น.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐: Sunderland wamekamilisha dili la kumsajili Noah Sadiki ๐ง๐ช kutoka Union Saint Gilloise! ✅๐
๐ Makubaliano yamefikiwa na vipimo vya afya vimefanyika leo asubuhi — mkataba wake utamfunga hadi Juni 2030! ๐
๐ฐ Ada ya uhamisho ni €17m pamoja na nyongeza ya €3m.
๐๐๐๐๐: Everton wamekubaliana dili la kumsajili mshambuliaji Thierno Barry ๐ซ๐ท kutoka Villarreal kwa ada ya €35m pamoja na nyongeza! ๐✍️
๐ต Mfaransa huyo anakuwa mchezaji mpya wa safu ya ushambuliaji chini ya David Moyes — nyaraka zinatarajiwa kusainiwa ndani ya saa 24.
๐ Barry anakuja kuongeza makali katika kikosi cha Toffees, akiwa na nguvu na uwezo mkubwa wa kufunga.
๐๐๐๐๐๐๐๐: Andrรฉ Onana hatarajii kuondoka Manchester United majira haya ya kiangazi, kwa mujibu wa `Daily Mail`! ๐งค๐จ๐ฒ
➡️ Kipa huyo mkuu anabaki kwenye mipango ya Amorin kwa msimu wa 2025/26.
๐๐๐๐๐๐๐๐: Christian Mosquera amekataa mkataba mpya kutoka Valencia! ๐ช๐ธ
Beki huyo chipukizi ana ndoto moja tu — kujiunga na Arsenal! ๐ฎ
✅ Ameshakubaliana masharti binafsi na Arsenal siku chache zilizopita!
๐ Mkataba uko tayari!
๐ Mazungumzo kati ya vilabu yapo hatua nzuri!
ITAKUWA rasmi baada ya kutimiza miaka 18, lakini...
๐ฅ LAMINE YAMAL tayari amepokea jezi ya namba 10 ndani ya Barcelona! ๐❤️
Jezi hiyo mpya imeanza kuuzwa licha ya tangazo rasmi kusubiri hadi siku yake ya kuzaliwa, 13 Julai. ๐✨
๐๐๐๐๐๐๐๐: Eberechi Eze ๐ฆ
๐ณ๐ฌ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ yuko tayari kujiunga na Arsenal! ❤️๐ค
๐ Baada ya mawasiliano ya awali kuripotiwa Jumatatu, sasa mazungumzo kati ya Arsenal na Eze yamepiga hatua. Mchezaji huyo amevutiwa na mradi wa `The Gunners` chini ya uongozi wa Mikel Arteta. ๐ฌ๐ด⚪
✨ Arsenal pia wanafahamu masharti ya kifungu chake cha kuachwa (release clause) ambacho kinazidi £60M. ๐ฐ๐
๐ Mazungumzo zaidi yanatarajiwa kuendelea…
LIVERPOOL yatangaza rasmi kuongeza makocha wawili kwenye benchi la ufundi la Arne Slot kwa msimu wa 2025/26! ๐ด✅
๐จ๐ซ Xavi Valero✅
๐ณ๐ฑ Giovanni van Bronckhorst✅
๐ฃ️ Mabadiliko haya yanalenga kuimarisha safu ya kiufundi kuelekea kampeni ya EPL msimu ujao! ๐ช
๐๐๐๐๐๐
๐๐: Bayern Munich watuma ofa mpya kwa Nico Williams! ๐ช๐ธ๐ด๐
๐ Mabingwa wa Bundesliga wamewasilisha maombi mapya ya kumnasa Mshambuliaji huyo baada ya Rais wa La Liga, `Javier Tebas`, kudai kuwa Barcelona hawawezi kumsajili kwa sasa....kwa mujibu wa Sky Germany!!! ๐๐ฎ๐จ
0 Comments:
Post a Comment