Nabi ameondoka Yanga baada ya kufanikiwa kuiwezesha timu hiyo kutinga fainali kwa mara ya kwanza Kombe la Shirikisho barani Afrika ambapo aliondoka kutokana na mkataba wake kufikia tamati.
Kocha huyo ilitegemewa atakuwa kocha wa Kaizer Chief lakini matumaini iligonga mbwa baada ya miamba hiyo ya Madiba kumtangaza kocha mwingine na inasemekana walishindwana na Nabi kwenye upande wa masilahi.
0 Comments:
Post a Comment