Samatta aliyekipiga KRC Genk msimu uliopita akiwa kwa mkopo akitokea Fernabache amejiunga na PAOK ambao msimu ujao watashiriki mashindano ya Europa.
PAOK wameweka taarifa ya Samatta kujiunga na timu yao, lakini hawajaandika amejiunga na mkataba wa muda gani.
0 Comments:
Post a Comment